TUMETHUBUTU nini?
- Kudai Uhuru
- Kuunganisha Tanganyika na Zanzibar
- Kuruhusu Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa
- Kulinda Mipaka Yetu
- Kudumisha Muungano
- Kuleta Umoja, Utulivu na Mshikamano
- Kufanya Mapinduzi ya Kiuchumi
- Kupanua huduma za kiuchumi na kijamii
- Mchakato wa Katiba mpya ya nchi
- Ushirikiano wa kikanda, kibara na kimataifa
- Maisha bora kwa kila mtanzania
No comments:
Post a Comment